Kuna vitu vingi ambavyo mtu anaweza kula asubuhi (kifungua kinywa) kama chapati, maandazi, uji. Leo tunakuletea sababu za kuchagua mayai kwa kifungua kinywa na sio vitafunwa vingine kama vilivyotajwa hapo juu.
One can choose from a variety of snacks to have for breakfast but today we bring you reasons why you should choose eggs over the snacks.
- Mayai hukufanya ujisikie umeshiba kwa muda mrefu/Eggs keep you feeling full much longer
Mayai yana protini yenye ubora wa hali ya juu na inasemekana ndio ubora wa juu zaidi duniani baada ya ule unaopatikana kwenye maziwa ya mama. Protini hii na mafuta yaliyoko kwenye mayai husaidia kuimarisha nguvu mwilini na kumfanya mtu ajisikie kashiba kwa muda mrefu zaidi kuliko akila vitu kama maandazi na chapati vyenye kabohaidreti nyingi.
Eggs are very rich in protein which is said to be the second best after a mother's milk. The protein and fat in eggs helps sustain one's energy levels, keeping them satisfied for longer compared to snacks that are rich in carbohydrate.
- Ulaji wa mayai husaidia kupunguza uzito/Eggs assist weight loss
These days many people eat healthy and want to lose or maintaion the weight they have. Eggs is the best choice for them because it helps make them feel satisfied for longer hence avoid mid morning snacks which may lead to weight gain.
- Mayai husaidia ukuaji wa akili na kuimarisha kumbukumbu/Eggs help with brain development and memory
Choline, an essential nutrient found in eggs, stimulates brain development and function. It has also been linked with increasing memory retention and recall as well as improving alertness.
- Mayai hulinda macho/ Eggs protect eyesight
Two antioxidants, leutin and zeaxanthin, are present in eggs and have
been linked to protecting eyes from damage related to UV exposure. They
have also been associated with reducing the likelihood of developing
cataracts in old age.
- Mayai ni chanzo kizuri sana cha protini/Eggs are a great source of protein.
As it has already been stated, eggs are very rich in protein so by eating them one nourishes the body with all the protein it needs.
No comments:
Post a Comment